Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, August 31, 2013

MAPOZI YA KICHOKOZI LINAH NA DIAMOND YAZUA GUMZO.!!

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenaswa na msanii mwenzake, Esterlina Sanga ‘Linah’ wakiwa kwenye mapozi ya kimahaba ambayo yametafsiriwa vibaya.
  Katika tukio hilo lililojiri juzikati kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ndani ya Tamasha la Serengeti Fiesta, Diamond alishuhudiwa akiwa amempakata Linah ndani ya basi huku mikono ya jamaa huyo ikishika maeneo nyeti.
 
Mara baada ya kutimba uwanjani hapo wakitokea hotelini tayari kwa kufanya shoo, Diamond na Linah walibaki kwenye basi wakiwa wamepakatana na hata msichana huyo alipomaliza shoo yake kali mishale ya saa 3: 00 usiku, alirejea mikononi mwa Diamond ambaye alimpachika mapajani.

Kwa mujibu wa mashuhuda, kama kweli mchumba wa Diamond, Penniel Mungwilwa ‘Penny’ anakubali mambo kama hayo, basi atakuwa na roho ngumu au moyo wa chuma.
  Siyo mara ya kwanza Diamond na Linah kuripotiwa wakiwa wamepozi kimahaba kwani mwaka jana walifanya hivyo wakiwa jijini Mbeya hivyo kutafsiriwa kuwa inaonekana ni katabia kao kabaya wanakaendekeza.

CHEKA NA MASHARI WATOKA KIDEDEA KATIKA MASUMBWI

Bondi Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba na Phill Williams wa Marekani wakati wa kugombania  ubingwa wa WBF uliofanyika katika ukumbi wa diamondi jublee cheka alishinda kwa point
Bonia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Simba Watunduru wakati wa mpambano wao uliofanyika siku ya ijumaa katika ukumbi wa Diamondi Jublee King class alishinda kwa pointi .
Bondia Deo Njiku akioneshana kazi na Alan Kamote wakati wa mpambano wao wa utangulizi Kamote alishinda kwa Point
Bondia Mada Maugo akijikakamua kumpiga konde Thomasi Mashari wakati wa Mpambano wao uliofanyika jana wa kugombania Ubingwa wa WBF AFRICA Mashari alishinda kwa pointi mpambano huo

YALIOJILI UZINDUZI WA FOOLISH AGE YA LULU

MSANII wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu', usiku wa kuamkia leo amefanikisha zoezi la uzinduzi wa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Foolish Age .

 Baada ya move hiyo kali ya dakika 120 iliyooesha ukali wa staa huyo kuoneshwa kwa dakika 20 tu na kubakisha zingine 100 kusubiri wateja kuziona majumbani kwao alipanda jukwaani kujitambulisha na kutoa shukrani kwa wamepenzi wa tasnia ya filamu nchini Tanzania kwa muitikio wao alipanda na kuimba wimbo huo wa Yahaya.

Akianzia kuimba kiitikio cha wimbo huo akiwa Back Stage, Lulu aliwashangaza watu pale alipomudu vyema wimbo huo kiasi cha mashabiki ‘Mapedeshee’ wakiongozwa na Pedeshee Rich Rich, kupanda jukwaani na kumtunza fedha kibao ambazo hakika zilimpagawisha msanii huyo na mwisho wa wimbo huo alisema mziki unalipa.


Tukio la uzinduzi huo lilifanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, na kuhudhuriwa na mastaa kibao wa tasnia mbalimbali hapa Bongo, wakiwemo; Judith Wambura 'Lady Jaydee', ambaye alitumbuiza sambamba na Barnaba na Amini.

 Wasanii mbalimbali walihudhuria show hiyo usiku huu pale Mlimani City
 Lulu akizungumza machache mara baada ya Move yake hiyo kuoneshwa kwa mashabiki na wapenzi wa filamu Tanzania ndani ya Ukumbi wa Mlimani City.
 Wadau walifuatilia burudani...
 Jide akikamua jukwaani...
 Mama na mwanao ni kama chanda na Pete... huyo ni Natasha (kulia) na Bintiye Monalisa.
 .... Walitunzana tu kivyao vyao...
 noti alizo tuzwa
 Rich Rich akimwaga noti
 Wadau wakifuatilia uzinduzi huo wa Filamu.
 Furaha ilitawala
 Mwogozaji wa Filamu za Kibongo, Leah Mwendamseke nae alikuwepo kuangalia kazi hiyo ya Lulu.
 Waongoza Shughuli hiyo watangazaji wa Redio na TV Double G na mwana dada kutoka Times FM walikuwepo.

NECHA FASHION SHOW

  Onesho la Mavazi lijulikanalo kama NECHA la mbunifu wa mavazi Daniela Raymond. Onyesho hilo lilifanyika ktik kituo cha Utamaduni wa watu wa Kamara.

Friday, August 30, 2013

PENNY AFUNGUKA KUHUSU PENZI LA DIAMOND

Baada ya hivi karibuni kuandikwa habari iliyoeleza kwamba nchini Kenya kuna demu aliyemzimikia ile mbaya mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku akiahidi kumpa penzi zito, mpenzi wa msanii huyo Peniel Mwingilwa ‘Penny’ ameibuka na kudai hatishwi na maneno hayo.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Penny ambaye sasa anapika na kupakuwa kwa Diamond alisema anamuamini sana mpenzi wake huyo na kwamba kuhusishwa kwake na mambo ya mademu kila kukicha kunatokana na kazi yake.
“Yatasemwa mengi lakini siwezi kumuacha Diamond, namuamini na najua haya yote yanayotokea ni kwa sababu ya kazi yake kwa hiyo wanaodhani mimi nitayachukua na kuamua kumuacha watasubiri sana, ndiyo kwanza penzi letu linazidi kushamiri,” alisema Penny.

VODACOM ELIMU EXPO


KENDRICK LAMAR AFUNGUKA KUHUSU MZOZO WA MASHAIRI YA CONTROL

Kendrick Lamar
Kendrick Lamar caused a firestorm with his verse on Big Sean’s “Control,” but he hasn’t been heard from until now. In an interview with “Big Boy’s Neighborhood” on Power 106, the Compton rapper finally addressed the explosive track.
Kendrick called out his peers including J. Cole, Wale, Drake, Meek Mill, and Mac Miller on the Hall of Fame leftover. The song spawned several fiery responses from MCs including Joell Ortiz, Papoose, B.o.B, and Cassidy.
But he was surprised by the reaction. “Honestly I didn’t know there would be so much speculation behind it,” said Kendrick. “I just wanted to rap. Anybody that knows me doing music, I wanna just rap.”
He also proclaimed himself the “king of New York,” which rubbed some rappers the wrong way. “I think that’s the case right there of maybe I just dumbed down my lyrics just a little bit,” he said.
But he didn’t mean it literally. He had a conversation with some of hip-hop’s elite, who weren’t offended by his verse. “The irony of that line is the people that actually understood it and got it, was the actual kings of New York,” explained K-Dot. “You know, me sitting down with them this past week and them understanding that it’s not about actually being the king of whatever coast. It’s about leaving a mark as great as Biggie, as great as ‘Pac.”
Kendrick Lamar is finally breaking his silence about his explosive verse on Big Sean’s “Control.” Following his interview with Power 106, the “Poetic Justice” MC called into Hot 97′s “Cipha Sounds & Rosenberg Show” to address the reaction to the song, his controversial “king of New York” line, meeting with Jay Z and Diddy, and his favorite response.
On his “king of New York” line: “It made feel like I gotta probably dumb down my lyrics nowadays for the people that take it way outta context the way they did. The irony behind it all is the main heads that really understood the context of the line was the actual kings of New York. The cats that I’ve sat down with this past week and those that understand that it’s not about the coast, it’s not about what side we on. It’s about being as big as Biggie or Pac, the two cats that I’ve referenced from jump. I feel like I’m a student of the work that they did. And eventually when I put down 20 years in the game, I can eventually plant my foot and have that same type of legacy. For people that try and make it out into something that it’s not, I’d never take the history behind what Pac laid or what B.I.G. laid.”
On Snoop Dogg: “To keep it 100 with you, Snoop will always be number one and I’m from the West Coast. And he gave me that, but out of respect for my big homie, I understand it. He laid it down. I only got one album out, one album out. I got years to be doing this, so at the end of the day, Snoop will always be my big homie and the legends that came before me, they will always stand tall where they’re at. I can’t stop myself from wanting to be great just like them.”
On his conversation with Jay Z: “That’s classified between me and him. But it was all love, all respect. Same way with Diddy and the same with a few of the other cats. I feel like the end of the day I feel as though you have certain cats that really take it to the next level and make it a rivalry thing and try to bring back that old thing. That’s old school, homie. Remind you that we’re black men out here tryna uplift the culture. My first sold out show was in New York, so I always looked at that place as a place that respected me and my lyrics. And we respected the culture and the birthplace of it.”
On the responses: “I think the ones that really took it out of context was the people that we know want to grab an opportunity off the hype of the record rather than actually tuning in and listening and knowing how hungry I am. A lot of people think it’s about talent. That’s why they get it wrong. I’m saying that I’m the most hungry in this. I respect the legends in the game, I respect people that done it before me, people that lost their lives over this. Because of what they laid down, I’m gonna try to come harder and breathe it and live it. That’s the point of the whole verse, what I’m tryna convey through that verse. All the ignorance behind it, you can kill that noise.”
On what he fears: “It will never be like that again where two coasts rival, not on my behalf, not while I’m doing this. I think the OGs of the game would want that anyway. They’d want that competitive nature back, but no bloodshed over it. I’m way too wise and I’m way too polished to get caught up in the hype of the media. But what I’m scared is cats that’s not that polished and they gettin’ caught up in what their Twitter responses is saying and what their homies around them saying and people gassing them up and they try to take it to the next level. Nah, that’s not G, that’s not gangsta.”
On his favorite response: “I like the Los verse. Joe Budden did his thing… Joell. I like people with different approaches. They was stating they facts. Joey had the facts in his verse, a few things that he felt. Papoose had the comical joint. Los was flipping his words and putting that spark on it. I think he had the killer thing though, Los. Los killed it out of everybody. But the number one joint at the top of the list had to be Chocolate Drop, Kevin Hart. That dude’s funny. He made light of the situation.”