Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, May 23, 2013

REDDS MISS KURASINI 2013 YAIVA

Baadhi ya washiriki wa shindano la Redd's Miss Kurasini 2013 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill. Warembo 11 wa kitongoji hicho watapanda jukwaani Ijumaa hii kuwania taji hilo na washindi wa tatu wataiwakilisha Kurasini katika shindano la Miss Temeke na baade Redd's Miss Tanzania 2013.
Baadhi ya washiriki wa shindano la Redd's Miss Kurasini 2013 wakimsikiliza Mkufunzi wao Kudra Lupatu wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill. Warembo 11 wa kitongoji hicho watapanda jukwaani Ijumaa hii kuwania taji hilo na washindi wa tatu wataiwakilisha Kurasini katika shindano la Miss Temeke na baade Redd's Miss Tanzania 2013.
Baadhi ya washiriki wa shindano la Redd's Miss Kurasini 2013 wakifanya mazoezi ya kucheza wimbo wa show ya ufunguzi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill. Warembo 11 wa kitongoji hicho watapanda jukwaani Ijumaa hii kuwania taji hilo na washindi wa tatu wataiwakilisha Kurasini katika shindano la Miss Temeke na baade Redd's Miss Tanzania 2013.
Kamati ya Miss Tanzania ikiongozwa na Mkurugenzi wake Hashim Lundenga jana pia ilitembelea kambi ya Redd's Miss Kurasini 2013 na kuzungmza nayo. Pichani ni Warembo hao wakimsikiliza Hashim Lundenga na ujumbe wake.

Tuesday, May 21, 2013

REDD'S MISS TANGA KUJULIKANA JUNI 22 MWAKA HUU






































SHINDANO la mkutafuta malkia wa Mkoa wa Tanga mwaka huu "Redd's Miss Tanga 2013" litafanyika Juni 22 kwenye Uwanja wa Mkwakwani,Mkoani humo.

Akizungumza na gazeti hili jana Mkurugezi wa Kampuni ya DATK Intertaimeint, Asha Kigundula, alisema kuwa warembo tayari wameanza mazoezi yakatofanyika kwenye Ukumbi wa Lavida uliopo jijini Tanga.

Kigundula alisema shindano hilo litaanza saa 2, usiku, ikiwa ni pamoja na kuwa na burudani mbalimbali kutoka kwa moja ya bendi maarufu hapa nchini pamoja na wasanii wanaotamba katika muziki wa kizazi kipya.

Alisema maandalizi ya shindano hilo yanaendelea vizuri jumla ya warembo 14 watashindania taji hilo.

Kigundula alisema kuwa mpaka juzi warembo 10 wamejitokeza na kuanza mazoezi yanayosimamiwa na  Miss Tanga 2012 Teresia Kimolo na Mwanaid Omar.

Warembo hao ni Hawa Ramadhan (18),Hazina Mbaga (19)Like Abdulraman (19), Jack Emannuel (18),Waida Mmbwambo(20), Tatu Hussein(19), Mwanahamis Mashaka(20), Neema Abdallah (18), Winfrida Gutram (21)Lulu Mbonea (19) na Aisha Rashid (21).

"Kila kitu kinaendelea vizuri, ikiwa na warembo kuendelea kujiandikisha kushiriki shindano la mwaka huu, ambalo nina hakika litakuwa la aina yake"alisema Kigundula

Alisema kwamba shindano la mwaka huu litaandika historia mpya ya urembo mkoani humo kwa kuwa Kampuni DATK imejipanga, hivyo mashabiki wa mashindano ya urembo wa jijini hapo kwa ujumla wakae mkao wa kupata raha.

Redd's Miss Tanga 2013 imedhaminiwa na Redd's Original,CXC Africa, Executive Solutions,Busta General Supply, Mkwabi enterprises,Lusindic Investment LTD, Lavida Pub, Jambo Leo,Staa Spoti,Five Brothers,Cloud's Media Group,Michuzi Media Group na Blogs za Bongostaz.com, Saluti5, Kajuna, JaneJohn, na Father Kidevu Blog.

Monday, May 20, 2013

REDD'S MISS KIGAMBONI 2013 NI JUNI 7 MWAKA HUU

Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Kigamboni wakiwa kwenye mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na kinyang'anyiro hicho kitakachofanyika Ijumaa Juni 7 mwaka huu kwenye ukumbi wa Navy Beach ulioko Kigamboni.

Monday, May 13, 2013

DIVA NA MWANAMITINDO KENYA WAMGOMBEA PREZOO

Huddah Monroe

Hakuna siri tena kuwa mtangazaji wa Clouds FM Loveness aka Diva na mfalme wa bling bling Rapcellency Prezzo ni wapenzi na wote wameconfirm. Lakini hata hivyo Diva amejikuta akipata upinzani mzito kutoka kwa model na msichana maarufu nchini Kenya Huddah Monroe ambaye kulikuwepo tetesi kuwa yeye na Prezzo waliwahi kuwa wapenzi.
Huddah amemshambulia Diva kuwa anajisifia mno kwenye Twitter kuhusu uhusiano wake na Prezzo. Pia anasema Diva ana sura mbaya.
“But she is still dreaming ,plus she is so ugly.”
“Theres a gal here she can’t stop sayin the way a nigga is her man,she is even waiting for a ring,im on the floor,” ametweet Huddah.
“She says it was love at first sight,but all a nigga wanted was to bust his nut.”
Huddah pia amemdiss Diva na wasichana wengine walio upande wake kuwa wanatweet Kiswahili kwakuwa Kiingereza ni kigumu.

“These bitches tweeting in swahili coz english is so hard.”
“Sio vita,i just found ur obsession so funny,u even broke u up with ur boyfriend,tumecheka tukaketi chini,” ameongeza Huddah.
“Hahaha! She is like i should respect her @Divamimi ,too shady to call herself a diva.”
“Sit ur ass down bitch i just laughed at ur tweet,nw u makin it a big deal.”
Hata hivyo Diva hakukaa kimya, hivi ndivyo alivyojibu.
#TeamPrezzo #Rapcellency#ThePresident. Am 100% Protecting his Territory , ukno how we do it Son. In Jay’z voice #1love
Next time finish what u started my Angel, am from Tanzania, I can handle a woman like u, learn to respect those u don’t know.
That woman crazy , she just started attacking me then »» Ex girlfriend, I dig her, ouch
Mwenzangu wee lol, she needs to move on, this will never take her nowhere.
LOL, too Early for her , let her kip on venting , not gon deal wit her ever again, some girls man.
Baada ya vita kuwa nzito, Diva ameomba msaada kwa followers wake wamfunze adabu Huddah kwa kile Diva anachosema amewatukana watanzania.
“Pliz handle this woman from kenya that been so busy attacking me. Attacking my country as well, mfunzeni #Leggo.
Diva.
Huddah amejibu: LMFAO! U are now askin Tanzanians to abuse me? U actually called Tanzaninan men dirty na hata shame huna.
Hizi ni tweets za Diva zilizofuata akidhihirisha anavyompenda Prezzo na kwamba hamtaki tena Huddah.
I love Prezzo and Simuachi Ng’oo , so she better deal with dat. She needs to leave me alone now. Its LOVE!. #bowdown#UheardTheDiva.
A little bit advice for her , you can’t fight love, Esp. love at first Sight. That’s Powerful. I lov Kenya#My2ndhome. So done.
Then you go and tell her to move on. Coz Prezzo don’t want her anymore. That is so easy!
Unaionaje vita ya wasichana hawa wawili amnbayo bado inaendelea kwenye Twitter? Kitu kimoja kikubwa wanachofanana wasichana hawa ni kuwa wote ni maarufu sana kwenye Twitter na wako controversial.

MTOTO WA MIAKA MINNE ACHOMWA MOTO SEHEMU ZA SIRI KISA UJI

ELIZABETH Bureko (26), mkazi wa Kata ya Nyamatare, Manispaa ya Musoma, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Musoma, kwa tuhuma za kumchoma na moto sehemu za siri mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane. Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Baraka Maganga, ilidaiwa na Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Sajini Stephano Mgaya, kuwa mwanamke huyo anadaiwa kutenda kosa hilo Aprili 24 mwaka huu, saa 3 asubuhi.
Kwa mujibu wa mwendesha mashitaka huyo, mshitakiwa alikiuka kifungu cha sheria namba 169 cha mwenendo wa makosa ya jinai kama sheria hiyo ilivyofanyiwa marekebisho na kuwa namba 16, mwaka 2002.
Alidai kwamba, mshitakiwa huyo alimchoma katika sehemu zake za siri na mdomoni baada ya kumtuhumu mtoto huyo wa wifi yake, kwamba alikuwa akinywa uji wa mtoto aliyekuwa akimnywesha. Mshitakiwa alikana shitaka na kurudishwa mahabusu hadi Mei 25 mwaka huu, kesi yake itakapotajwa tena.

WAREMBO 11 WALIOFANYA MAPENZI NA MBWA HAWA HAPA


Sakata  la  warembo  11  wa Mombasa  kunaswa  wakiiigiza  video ya ngono  na MBWA  limechukua  sura  mpya  baada  ya  taarifa  kuvuja  kwamba  yule  mzungu (Christopher Clement) waliyekuwa  naye  ni  mfanyakazi  wa  shirika  la umoja  wa mataifa ( United Nations Development Programme -UNDP)

Madai  hayo  yamekuja  baada  ya  kunaswa  kwa  gari  mojawapo  la  mzungu  huyo  lenye  namba  za  usajili  40UN221K  ambazo  ni  za  UNDP....

Na  haya  ndo  majina  11  ya  watuhumiwa  wa  kashfa  hiyo  chafu.....
  1. Christopher Clement Weisssenrieder, 
  2. Janet Akoth Omollo, 
  3. Mercy Waithera Karanja, 
  4. Mary Nyambura Kimani, 
  5. Magdaline Wairimu Chege, 
  6. Celestine Nekesa Sitati 
  7. Dorcus Melishah Indakwa
  8. Lydia Nyaboke Momanyi, 
  9. Philidelia Mawia Solomon, 
  10. Anne Wanjiku Gichuki 
  11. Celilia Nzambi Katuku.

KUMEKUCHA MISS LINDI 2013



Shindano la kumsaka Malkia wa Mkoa wa Lindi ‘Miss Lindi 2013’ linataraji kufanyia Mei 31 mwaka huu katika ukumbi wa Hoteli ya Lindi Beach Resort (Oceanic Hotel).
Akizungumza na Father Kidevu Blog mjini Lindi, Mwandaaji wa Shindano hilo, Shaha Ramadhani kupitia kampuni ya Alliance Entertainment amesema warembo 12 wataingia Kambini Hotelini hapo chini ya Mkufunzi Zainab Mselem ambaye alikuwa Miss Pwani 2010.
Maandalizi yote ya shindano hilo yanaendelea vyema na Milango io wazi kwa Wadhamini kujitokeza.
Maandalizi yote ya shindano hilo yanaendelea vyema na Milango io wazi kwa Wadhamini kujitokeza. 
Irine Veda (pichani juu) ndiye anashikilia taji hilo baada ya kulitwaa mwaka 2012. 

NEY NA DIAMOND KUWASHA MOTO DAR LIVE

WASANII wa Muziki wa Kizazi kipya Naseeb Abdul  'Diamond Platinam' na Ney  wa mitego wanatarajia kupanda jukwaa moja kumtafuta nani mkali katika uzinduzi wa video ya Muziki gani itakayozinduliwa Mei 18 mwaka huu katika ukumbi wa Dar LIVE mbagala, Dar ers Salaam.

Uzinduzi wa Video hiyo ambao umeandaliwa na Kampuni ya Yuneda Entertainment inayohusika na masuala ya burudani itawapambanisha wasanii hao ambao kutatafutwa nani mkali kati ya muziki wa Hip Hop na Bongo Fleva ambapo nyimbo hiyo ya muziki gani inamahadhi ya kubishana kati ya miziki hiyo.

Akizungumza Dar es Salaam jana, wakati wa kutambulisha uzinduzi huo, Mratibu wa onesho hilo Kahabi Mwendesha alisema uzinduzi huo utasindikizwa na wasanii wa Hip Hop na Bongo Fleva na kuwataka mashabiki wa fike kwa wingi ili kushuhudia wababe hao.

"Onesho hili litakuwa ni la kumtafuta nani mkali kati ya muziki wa Hip Hop na Bongo Fleva ambapo kupitia uzinduzi wa video hii utadhihirisha nani mkali kati ya muziki wa bongo fleva na hip hop,"alisema Mwendesha.

Alisema mara baada ya video hiyo kuzinduliwa Mei 18 Dar LIVE uzinduzi huo utahahamia katika mikoa ya Morogoro, Dodoma, Mwanza, na baadaye Arusha na kuwataka mashabiki wa mikoa hiyo kukaa tayari kwa ajili ya burudani hiyo.

Alisema viingilio katika onesho hilo vitakuwa ni sh. 10,000 huku akisisitiza ulinzi kuimarishwa ambapo pia alisema kwa mashabiki wa burudani ambao hawatakuwa na viingilio kwa ajili ya mechi ya Simba na Yanga wafike katika ukumbi huo kwa kuwa mechi ya watani hao wa jadi itaoneshwa LIVE kupitia televisheni kubwa zilizipo ukumbini hap
o.

RAPPER JAY-Z KUTUA DAR TENA MWAKA HUU

 
Tanzania ni miongoni mwa nchi tano za bara la Africa zilizochaguliwa na rapper Sean Carter aka Jay-Z kwaajili ya kutumbuiza kama sehemu ya ziara yake ya wiki saba ya dunia.

Ziara hiyo ni kwaajili ya kutangaza uelewa kuhusu tatizo la maji duniani. Inatarajiwa kuanza September 9 nchini Poland na kuzunguka mabara ya Ulaya, Africa, Asia na kumalizia Australia.

Barani Africa ataanza na show jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Diamond Jubilee October 4 kisha Accra, Ghana, Lagos, Nigeria, Luanda, Angola, Cape Town, Durban, na Johannesburg, Afrika Kusini.

Sunday, May 12, 2013

REDD'S MISS IFM 2013 YAIVA

Warembo wa Redd’s Miss IFM wakiwa katika picha ya pamoja.
Meneja wa Kinywaji cha Redd's Victoria Kimaro katikati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaa juu ya maandalizi ya shindano la Redd's Miss IFM 2013.
Mratibu wa Redd’s Miss IFM, Daniel Sarungi katika akizungumza na waandishi wa Habari jijini dar es salaam juu ya shindano la Redd's IFM linalotarajiwa kufanyika May 25,2013, kulia ni meneja wa Kinywaji cha Redd's Victoria Kimaro.

Friday, May 10, 2013

UGONJWA ULIMTULIZA MADAM RITA ASIONEKANE

http://2.bp.blogspot.com/-VxF8Xm3DRRQ/T_C2cslKR3I/AAAAAAAAHwk/FC7De_50yk8/s1600/IMG_9924.JPGBaada ya kua kimya kwa muda mrefu, hatimaye Madam Rita Paulsen amefunguka sababu ya ukimya huo wa mda mrefu. Katika page yake ya facebook amefunguka na kusema kua kisa cha ukimya wake wa mda mrefu ni kutokana na kusumbuliwa ma maradhi ambayo hajayaweka wazi. Lakini katika picha hiyo ameonekana akiwa na magongo ya kumsaidia kutembea.

Madam Rita katika page yake ameandika haya

''Kumekuwa na maswali mengi ya kwanini sionekani na niko kimya sana. Kujibu maswali hayo ni kwamba nimekuwa siko sawa kiafya.

Lakini nashukuru Mungu sasa naendelea vizuri. Ahsanteni sana kwa kunionyesha upendo wenu.

MAZITO KUHUSU SALAMA JABIR NA KUPIGWA LITA HAYA HAPA

Katika  pitapita   zangu nimefanikiwa  kumnasa  live  Salama Jabir  akinyonyana  ndimi  bila  chenga  na  mwenzake...!!
Nashindwa  kuthibitisha  huyo  wa  pili  ni  nani  na  ni  jinsia  gani....nikimwangalia  haraka  haraka  naona  kama  ni  mwanaume  na  namfananisha  na  mdogo  wake    Wema   Sepetu  aitwaye  Bill Sepetu.....
Nikijaribu  kukaza  macho  kwa  kwa  makini,  huyo  wa  pili  namuona  kama  ni  mwanamke  kutokana  na vazi  lake.Hicho  cha  mabegani  nakifananisha   na  sidiria  za  akina  dada....!!
Yaani  nimeumiza  macho  mpaka  yanauma...Nashindwa  kuyaamini  macho  yangu  kuhusu  Salama Jabir. Sikutegemea..!!
kwa hisani ya bONGO FLavA liNK BLOG

YALIOJILI MISS SHINYANGA 3013

Katikati ni Redds Miss Shinyanga 2012/2013 Maiya Mohamed, akiwa katika furaha mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi katika  shindano la kumsaka mrembo wa mkoa wa Shinyanga lililofanyika Usiku wa kuamkia Jumapili katika uwanja wa Halmashauri mjini Kahama. Kulia kwake ni Mshindi wa Pili Sylvia Joseph na kushoto kwake ni Mshindi wa tatu Happyness Joseph.
Huyu ndiye Maiya Mohamed, Redds Miss Shinyanga 2012/2013
Kutoka kushoto ni Happyness Boniface akishika nafasi ya tatu, katika ni mshindi wa kwanza Maiya Mohamed na kulia ni Sylvia Joseph mara baada ya kutangazwa kuwa washindi wa Miss Shinyanga 2012/13
Redds Miss Shinyanga 2012/13 Maiya Mohamed akivishwa taji mara baada ya kuatngwazwa kuwa mshindi
Malkia wa mipashoTanzania Bi. Khadija Kopa akiwa jukwaani
Khadija Kopa, akiwajibika jukwaani katika shindano la Miss Shinyanga 2012/13 katika uwanja wa Halmashauri mjini Kahama
Robert kutoka TBL, mdhamini mkuu wa Miss Shinyanga 2012/13 akitoa neno la shukrani
Majaji wakikagua matokeo kabla ya kutangazwa mshindi
Mrembo Maiya Mohamed akiulizwa swali na MC wa shughuli Masanja Mkandamizaji kutoka kundi la Orijino Komedi
DJ Rammy akisababisha vilivyo
Mrembo Happyness Boniface katika vazi la Usiku la kutokea
Mrembo Sylvia Joseph katika pozz, vazi la Usiku
Mrembo Diana Dickson katika Pozz, vazi la Usiku
Tano bora ya Miss Shinyanga 2012/13
Mrembo Maiya Mohammed katika Pozz, vazi la Usiku
Chegge na Temba walisababisha vilivyo
Pendo na Happy ni warembo kutoka wilaya ya Nyamagana Mwanza, nao walikuwepo kushuhudia shindano la Miss Shinyanga 2012/13
Kumi Bora ya Miss Shinyanga 2012/13
MC wa shughuli ni Masanja Mkandamizaji wa Orijino Komedi
Warembo wakipita na vazi Ufukweni
Vazi la Ufukweni
Washiriki wa Miss Shinyanga 2012/13 katika vazi la Usiku
Asela Magaka muandaaji wa Miss Shinyanga 2012/2013, akiwa pamoja na Malkia wa mipasho Tanzania Bi. Khadija Kopa
Hawa ni washindi wa Mkoa wa Mara, nao walikuwepo kushuhudia shindano hilo

LADY JAYDEE MATATIZONI TENA

165976_10151281153065025_1521636074_n
Bado joto ya show ya mika 13 ya Lady JayDee inazidi kupanda kutokana na mengi yanayohofiwa kutokea siku hiyo. Kwanza kulikuwa na tetesi kuwa huenda Clouds Fm wakafanya show nyingine siku hiyo, kitu ambacho Ruge Mutahaba alikifafanua vizuri kwa kusema mtu ukiwa na shughuli haimaanishi kuwa wengine wasifanye shughuli nyingine kama hiyo.
Lakini sasa kuna jingine ambalo limejitokeza, na amelisema mwenyewe Lady JayDee, hii haijathibishwa, huenda ni maneno tu ya kizushi or??.. Na hivi ndivyo alivyoandika kupitia ukurasa wake wa twitter muda mchache uliopita…
ji

Thursday, May 9, 2013


MWANAUME aliyefahamika kwa jina la baba Salome, mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alimdhalilisha mkewe (mama Salome) baada ya kufumaniwa gesti akiwa na mwanaume mwenzake ambapo madai yalisema, walikuwa katika hatua za mwisho za kuingiliana kimwili...
 
Aibu hiyo ya mwaka ambayo ilionekana pia kama kituko ilijiri Mei 3, mwaka huu ndani ya gesti moja maarufu iliyopo Devi’s Corner –Tandika, jijini Dar es Salaam. Awali ilidaiwa kuwa, mwanaume huyo na baba Salome mwenye mke na watoto wawili wanaomtegemea kwa kila kitu, walionekana wakiingia kwenye gesti moja ambayo pia ipo maeneo hayo hali iliyozua maswali kwa watu waliokuwa wakiwafahamu. 
 
“Unajua tatizo lilianzia wapi? Baba Salome na yule mwanaume mwenzake walionekana wakiingia gesti moja kisha wakatoka, wakaingia nyingine pia wakatoka, ndipo watu wanaowafahamu wakajiuliza kulikoni wawili hao kutembelea gesti siku hiyo, wakawafuatilia,” alisema mnyetishaji mmoja. 
Akaendelea: Lakini watu waliwafahamu kwa namna mbili tofauti, baba Salome ni mtulivu, mwadilifu, mwenzake watu wanasema ana ‘katabia’ ka kutaka kuwa faragha na  wanaume wenzake bila kujulikana nini anakitaka katika usiri huo. 
 Madai zaidi yakawekwa wazi kwamba, baadhi ya watu walikwenda kwenye gesti walizokwenda wawili hao na kuulizia nini walikuwa wanakitaka, ndipo siri ikawekwa wazi kwamba wanatafuta chumba cha kupumzika kwa siku hiyo lakini kwa sheria za Jiji la Dar es Salaam (kama siyo za nchi nzima), wanaume wawili hawaruhusiwi kulala chumba kimoja.
  
Chanzo kikasema: Wambeya wakawaona wakiingia kwenye gesti ya tukio, wakapewa chumba. Ndipo wakakimbia nyumbani kwa baba Salome na kumtonya mkewe, mama Salome kwamba mumewe ameingia gesti. 

Kichekesho zaidi kinaangushwa kwamba, baada ya kuambiwa mumewe amezama gesti, mama Salome ambaye ndiyo kwanza alikuwa amefika kutoka  kwenye mikopo ya Finca, alitoka mbio huku akisema anakwenda kumtoa sikio la kulia Kidawa akiamini mumewe ameingia gesti na mwanamke huyo. “Watu walimwambia mumewe hakuingia gesti na Kidawa bali mwanaume mwenzake. Kwanza mama Salome aliomba asitaniwe juu ya hilo, lakini akasisitiziwa,” alisema mtoa habari huyo. 
Akizungumza kwa jazba na waandishi wetu nje ya gesti hiyo, mama Salome alisema kwamba alipata taarifa siku nyingi mumewe ana ukaribu na mwanaume huyo ambaye mitaani watu wanasema  anajihusisha na vitendo vya ushoga. 
 
“Nilipozipata taarifa hizi sikuziamini, nilidhani ni Kidawa ndiyo kaingia gesti na mume wangu, maana Kidawa ndiye mbaya wangu,” alisema mwanamke huyo kisha akazama ndani ya gesti akiwa na polisi ambao haikujulikana walikotokea. 
Huku mumewe na mwanaume mwenzake wakiwa hawana hili wala lile kule chumbani, mlango ulisukumwa na kufunguka ambapo mwanamke huyo aliwakuta wawili hao wakiwa wameshavua baadhi ya nguo. 
Wote walishtuka kuona wameingiliwa!  “Yaani roho inauma sana, sijui ni kitu gani umekosa kwangu mpaka unakuja kwa mwanaume mwenzako jamani baba Salome,” alisema huku akilia mama Salome. 
Baada ya kugundua wamenaswa, mwanamke aliyekuwa na baba Salome aliangua kilio huku  akiomba kusamehewa kwa vile yeye ni mume wa mtu, lakini kilio chake hakikusikika kwa polisi ambapo waliwafunga pingu na kuwataka kuelekea katika kituo cha polisi. 
Wakati wakitoa maelezo kwenye kituo cha polisi, mwanaume aliyekuwa na baba Salome alijitambulisha kwa jina la  Julius Mwita, mkazi wa Devi’s Corner ana  mke na watoto wawili na aliwaomba sana waandishi wamhifadhi kwani wakwe zake wakimuona ‘itakula  kwake’.