Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, May 30, 2011

BREAKING NEWS: SEAN KINGSTONE APATA AJALI MBAYA YUKO ICU..!!

0529_sean_kingston_exd_getty_5
Artist Kisean Anderson a.k.a Sean Kingston yuko mahututi baada ya kupata ajali pande za Miami Beach,alipokua anaendesha pikipiki za kwenye maji aka Jet Ski
Sean Kingston alijeruhiwa baada ya kugonga daraja linaloiunganisha Palm Island na MacArthur Causeway na alikimbizwa kwenye Jackson Memorial Hospital,kwa matibabu akiwa pamoja na mwanamke aliyekua naye wakati akiendesha pikipiki hiyo
Wasanii na fans wake wengi wamekua wakimtumia salamu za pole na kumuombea apate nafuu haraka kwenye mtandao wa Twitter.
Sean_kingston_jet_ski_crash_bike.jpgSean Kingston was involved in a Jet Ski accident Sunday, his rep confirmed to Us Weekly.
The 21-year-old singer was driving the watercraft that apparently crashed when it went under a small bridge at about 6 p.m., CNN reported. A female passenger on board was also injured.
By early Monday morning, Lauren Ceradini, Vice President of publicity at Epic Records, told CNN, "Sean is stabilized" and refuted online claims he was dead.
Hip-hop singer Trav visited Kingston in the hospital and told the site: "He is good in stable condition."
"[Sean] and his family thank everyone for the well wishes," his rep told Us.
Hip-hop star Sean Kingston is in critical condition in a Miami Beach hospital after being injured in a bad jet skiing accident Sunday evening ... TMZ has confirmed.
0529_sean_kingston_exd2_getty
According to Local10.com, the "Beautiful Girls" singer had a female passenger on board his watercraft when it crashed into a bridge (see below) around 6:00 PM local time. We're told both Kingston and his passenger were rescued from the water by a good Samaritan.
0530_sean_kingston_bridge_wsvn
The Miami Fire Dept. responded to the scene and both Kingston and his female passenger were transported to nearby Jackson Memorial Hospital. We're told Kingston's injuries are so severe, he is being treated in the trauma ward.









NEWS:Mr Vegas Donates Wheel Chair To Angella After She Was Shot & Crippled

Mr_vegas_wheel_chair_angella_green.jpg
Kingston Jamaica- PR Jamaica Entertainment: A gruesome act some 15 years ago have left 38 year-old Angella Green wheelchair bound. Recounting the incident to Mr. Vegas, Angella talked of how she was walking along London Avenue in Portmore on that unforgettable night, when she was pounced upon by a man brandishing a gun. The gun-toting man was soon joined by a taxi driver, and they both took her to some bushes in the Portmore community where she was raped.
After being raped she recall the gun-toting man telling her to run, and being scared and frightened from the encounter she began to run. Angella remembered being shot in the shoulder, the ribs, and then the spine, after which she fell to the ground. Her attacker then walked over to her and gave her one last shot to the head.
Evidence of her encounter is still quite clear some 15 years later. Angella Green is wheelchair bound, with a bullet still lodged in her head and the scars from the other bullets still tell a daunting tale.
However, Angella has yet to give up hope and from time to time several Good Samaritans still show compassion and kindness. The latest to do so was dancehall sing-jay Mr. Vegas.



 FFU WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA WANAFUNZI IRINGA
Polisi wakiwaweka chini ya ulinzi wanafunzi eneo la Kitwiru nje kidogo ya na Manispaa ya ringa hapo ilikuwa ni kabla ya kuanza kupiga kurusha mabomu ya machozi.
 Mwanakijiji kushoto akiwa na mwandishi wa habari wa Radio wa Ebony Fm wakifuta machozi kutokana na mabomu yaliyopigwa na askari na hao kuwatawanya wanafunzi hao.
 Mwandishi wa habari wa Ebony FM akikimbia moshi wa mabomu ambayo yalikuwa yakipigwa na askari hao kutawanya wanafunzi hivi punde
Wanafunzi wa Sekondari ya Tosamaganga wakikimbia moshi wa mabomu yaliyokuwa yakipigwa na polisi.
Hapa wakikimbia porini kunusuru afya zao chini ya vifaa vya wanafunzi vilivyotelekezwa Hali ya usalama si shwari katika shule ya sekondari Tosamaganga wilaya ya Iringa mkoani Iringa hivi sasa wanafunzi zaidi ya 10000 wapo porini wakikimbizwa na polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia ambao wanatumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi hao ambao walikuwa katika maandamano ya amani kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa Iringa kuulalamikia uongozi wa shule hiyo.
Hadi hivi saa mabomu zaidi ya 10 ya machozi yamepigwa kuwatawanya wanafunzi hao ambao baadhi yao wanadaiwa kujeruhiwa kwa kuchomwa na miti wakati wakikimbia porini kukwepa mabomu hayo huku wananchi wa Mseke wakikimbia nyumba zao .




MAJAMBAZI WAPORA NG"OMBE NA KUWAUWEA MKE NA MUME
Watu wawili wakazi wakijiji cha Itununu wilayani Serengeti mme na mke wamekufa baada ya kuchinjwa kikatili na wauaji kupora ng’ombe 10 na kutokomea nao.Kamanda wa polisi mkoa wa Mara Robert Boaz amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo yaliyotekea majira ya saa 7:30 usiku wa kuamkia jumapili ya mei 29, ambapo kundi la watu wakiwa na marungu, mapanga na sime walivamia mji huo na kutekeleza unyama huo.
Amewataja waliokutwa na mauti hayo kuwa ni Marwa Kige(66) na Mgosi Kige(58) ambapo inatajwa kuwa kabla ya mauaji kufanyika wauaji waliwateka na kuwatoa nje ya mji kisha kuwachinja kama mbuzi na walipohakikisha kuwa wamekufa walipora mifugo na kutokomea kusikojulikana. “Wakati Majangili hayo yakiteleza unyama huo kulikuwa na mtoto ambaye aliwaona nae hakusita kusimulia kwa jeshi la polisi mkasa mzima jinsi ulivyotokea,” alisema kamanda.
Aidha Kamanda amebainisha kuwa katika ufuatiliaji unaoendelea watu wawili wamekamatwa ambao ni Chacha Magori(19) na Mwita Magori(19) wote wakazi wa kijiji cha Kitunguruma wilayani Serengeti ambao wamekutwa na ng’ombe 7 kati ya 10 walioporwa.





WAREMBNO MISS TABATA WATEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA MIKUMI

Na Mwandishi Wetu, Mikumi
Warembo 22 watakaoshiriki kwenye kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Tabata 2011 jana waliondoka Dar es Salaam kwenda kutembelea mbuga za wanyama huko Mikumi.
Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga alisema jana kuwa lengo la ziara hiyo ni kukuza utalii wa ndani. engo la ziara hii ni kutangaza utalii wa ndani. Tunataka warembo wetu wajue wanyama na vivutio vingine vinavyopatikana kwenye mbuga zetu hasa Mikumi,” Kapinga alisema.
Alisema kuwa wakiwa Mikumi, warembo hao wapata fursa ya kuwajua tabia za wanyama na ndege wote waliyomo kwenye mbuga hiyo.
Miss Tabata imepangwa kufanyika Juni 10 katika ukumbi wa Da’ West Park .
Warembo waliyoondoka ni Marion Augustino (19), Neema Marwa (18), Catherine Julius (20), Lilian William (20), Godliver Mashamba (22) na Dorice Mutabingwa (21).
Wengine ni Sweetlily Suleiman (21), Maria John (21), Happyness Emmanuel (18), Cresensia Haule (20), Mariam Manyanya (21), Agustina Mshanga (20), Nasra Salim (21), Faiza Ally (19) na Edina Mnada (21).
Pia wamo Angela Fortunatus (21), Lucia Joseph (20), Lilian Brayson (22), Rita Mvungi (21) na Willieth Wilson (22).
Miss Tabata 2011 inadhaminiwa na Dodoma Wine, Vodacom, Redds Original, Integrated Communications, Paris Pub, Fabak Fashion, Freditto Entertainment, Chicken Hut, Travel Partners, Ben Expedition, Screen Masters, Sean Entertainment, Screen Masters, Michuzi blogspot na Anech Stationary.
Consolata Lukosi ndiye mrembo anayeshikilia taji la Miss Tabata.
Mrembo huyo alikuwa nambari tatu mwaka jana kwenye shindano la taifa (Miss Tanzania ) kabla ya kushinda taji la Redds Ambassador.
Mashindano hayo ya urembo yanaandaliwa na Bob Entertainment na Keen Arts.
PICHA YA LEO:
Waembo wakiwa wametupia swagga z mapozi flani hivi...!!

Sunday, May 29, 2011

STELLAH ROBERT AWA MISS DAR INDIAN OCEAN 2011..!!

 Vodacom Miss Dar Indian Ocean 2011, Stella Robert akipunga mkono kwa furaha baada ya usiku wa kuamkia leo kutawazwa kuwa Malkia wa Kitongoji hicho alipowashinda wanyane wengine 10 waliokuwa wakiwania taji lililokuwa likishikiliwa na Alice Luchiku Miss Kinondoni 2010.
 Miss Dar Indian Ocean 2011, Stella Robert (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wengine wanafasi ya pili Hamisa Hassan (kulia) na Renada Apoley baada ya kutangazwa washindi katika nafasi hizo.
 Show ya ufunguzi ya warembo ilikuwaa kama hivi....
 Vazi la ufukweni kila mrembo alipita kivyake, pichani ni Linda Joshua akijaribu bahati yake.
 Catherine Frisch nae alijitosa...
 Zahra Anonina hakubaki nyuma...
 Georgina Saula alihakikisha nae anarusha kete yake.....
 Renada Apoley ambaye aliibuaka Mshindi wa tatu huenda hivi aliwachengua majaji....
 Sabrina Abllah akipiota na kivazi chake cha ufukweni....
 huyu ni Fatma Pongwa akijinadi kwa majaji na mashabiki....
 Sikama Judith Emmanuel alitishwa na kina cha maji la hasha ni mbwembwe tu za kuwastua majaji.
 Geneveive Lucas nae alitaka kufuata nyayo za wajina wake aliyetwaa taji la Miss Tanzania mwaka 2010 lakini hakufurukuta.....
 Hamisa Hassan alijaribu bahati yake na kuingia fainali na kupata tiketi ya kushiriki Miss Kinondoni 2011.
 Kama ilivyo andikwa katika maandiko matakatifu kuwa Wamwisho atakuwa wa kwanza na Wakwanza atakuwa wa Mwisho ndivyo usemi huu ulijidhihirisha baada ya Mrembi huyu aliyekuwa wa mwisho kuibuka wa kwanza.
Warembo weakiwa katika mapozi ya kiushkaji zaidi
Waremboz wakiwa katika pozi la kushika kiunoz

EXCLUSIVE: LIL WYNE ALA BATA NDEFU..!!



MANCHESTER HOIU KWA BARCELONA YACHAPWA 3-1

Kocha wa Barcelona Pape Guardiola akipepezwa angani na wachezaji wake baada ya kutawazwa kuwa wafalme wa soka Ulaya kwa kuifunga Manchester United 3-1 kwenye fainali uwanja wa Wembley nchini Uingereza."Nilitaraji timu yangu ingefanya vizuri lakini suala ni kwamba tulikuwa tukicheza na timu bora zaidi, kitimu wako katika kilele kizuri cha mafanikio kakika mzunguko huu.

"Katika maisha yangu ya soka hakuna aliyeweza kutuficha kiasi kile, hakika ni siku kuu kwao. "Walistahili kwasababu wanacheza jinsi inavyopaswa na wanaenjoy soka lao.
"They mesmerise you with their passing and we never really controlled Messi. When we got the lifeline of Wayne Rooney I expected us to do better in the second half but it wasn't to be. Kifupi ni kwamba hakuna aibu kupoteza mbele ya wakali wale.
Boss wa Barca Guardiola amemzungumzia 'mkorofi wa chenga' Lionel Messi kwa kusema: "Lionel ni mchezaji bora ambaye sijawahiona maishani mwangu, probably the best ever. Kwani katengeneza utofauti.
"Messi ni mtu mmoja wa kipekee, Na mara zote naweka matumaini kwake kwani ni mtu asiyekata tamaa. Inapotokea akashindwa kucheza basi jua kwamba kuna kitu hakijakaa sawa katika mazingira yake yanayomzunguka. Let's hope he can continue playing well."
Huku akitokwa machozi kipa wa Manchester United aliyepanga kustaafu soka Edwin van der Sar, amesema kuwa laiti kama siku zingerudishwa nyuma angestaafu soka kabla ya mechi hiyo. Nae Muajentina aliyeondoka Anfield kwa utata akiulazimisha uongozi wa timu ya majogoo wa London kumwachia aondoke kwenda kukiputa Barcelona katika msimu wa usajili majira ya kiangazi, JAVIER MASCHERANO. Kwa upande wake amesema "Najua kuwa mashabiki wa Liverpool bado wanahuzuni kwa kuondoka kwangu. Lakini najua hii itakuwa ni zawadi njema kwao" Akamalizia kwa kusema "You’ll never walk ’elona"





JUSTIN BIEBER NA BATA ZA KILA WEEKEND NA SELENA GOMES

At age 17, most kids are trying to figure out what dress to wear to the prom and who to invite to their graduation. Justin Bieber, however, is a few years ahead of most 17 year olds, spending the past week on a romantic vacation in Hawaii with his girlfriend Selena Gome

Lil’ Wayne & Drake was spotted making it rain in Miami at the Kings of Diamonds last night. The Young Money stars were celebrating Worldstar Hiphop’s 6 Year Anniversary in the business.

Saturday, May 28, 2011

BREAKING NEWS: BASI LA SUMNRY LAUWA WATU 13 MBEYA..!!

Hatimaye takwimu sahihi za vifo vya abiria katika ajali ya basi la Sumry iliyotokea jana usiku mpakani wa Iringa na Mbeya imefikia watu 13 na siyo 15 kama ilivyoripotiwa hapo awali na mtandao huu.

Akizungumza na wanahabari mchana huu Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Advocate Nyombi amesema mpaka sasa maiti 13 wamepokelewa katika hospitali ya rufaa  wazazi ya Meta ambako kwa sasa wamehifadhiwa kutokana na kuwepo kwa vifaa vya kutunzia maiti.


Baada ya kupata ajali


Askari wa usalama barabarani akiangalia matairi ya basi hilo
Mpaka sasa maiti zilizotambuliwa ni pamoja na Dereva wa Basi hilo Makame Juma, Abiria Frolence Kitaule ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Ubaruku-Mbarali, Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Thomas Mchalo, ingawa pia taarifa zaidi zinaonyesha kondakta wa basi hilo pia amefariki kutokana na sare za basi la sumry alizovaa ambazo maiti yake imekutwa nazo. 


JUSTIN BIEBER ABUNYA BATA NA DEMU WAKE WALIODAIWA KUACHANA NAE..!!

Artist Justin Bieber akiwa na  umri wa miaka 17,hivi karibuni kamera za mapaparazi ziliwabamba wakiponda raha katika pwani Maui na demu wake Gomez ambaye miezi kadhaa walilipotiwa kuachana now love is back!.
Kijana huyu hivi majuzi tu alilipotiwa kuvaa mkufu wa zaidi ya milioni 30 za kitanzania sawa na thamani ya nyumba ya mtanzania wa kawaida.



JA RULE AMDISS 50 CENT KWENYE TWITTER
Rappa Ja rule ameendelea kumdiss mkali wa kufoka 50 cent kwenye twitter,bifu hili ni la miaka kibao lakini ja rule ameonekana kutopuuzia mzozo huo na bado anatupia tu kwenye twitter jinsi anavyokerwa na 50 cent.




UFISADI:BLATTER AFUNGUKA MBELE YA FIFA

Sepp Blatter
Kujitetea Jumapili juu ya madai ya ufisadi mbele ya kamati ya maadili ya FIFA
Rais wa shirikisho la kimataifa la soka, FIFA, Sepp Blatter, itabidi kujitokeza mbele ya kamati ya shirikisho hilo inayohusika na maadili, ikiwa ni hatua ya uchunguzi wa madai kwamba maafisa wa juu wa shirikisho hilo kupokea hongo.
Blatter ameitwa na kamati hiyo pamoja na maafisa wenzake wa bodi, Jack Warner na Mohammed Bin Hammam.
Kamati hiyo itawasikiliza keshokutwa Jumapili.
Blatter ameamriwa kufika mbele ya kamati hiyo, baada ya mpinzani wake katika kuwania kiti cha urais wa FIFA, Mohamed Bin Hammam kusema kwamba Blatter anafahamu juu ya madai hayo ya kupokea mlungula katika shirikisho hilo.
Hayo yakiendelea, waziri wa michezo na olimpiki wa Uingereza, Hugh Robertson, amelitaka shirikisho la soka la FIFA kuahirisha uchaguzi wa rais wa shirikisho hilo, hadi uchunguzi wa madai hayo ya ufisadi kukamilika.
Bw Robertson amesema kutokana na madai hayo ya ufisadi, ni vigumu kwa watu kuweza kupiga kura kikamilifu.





GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL KUDHAMINI MISS KURASINI 2011
Hawa ni washiriki 14 wa shindano la kumsaka Miss Kurasini Witness Justin (22), Sintya Zuberi (19),Mwajabu Juma (19)Gift Salum (19), Lucia John (22), Prisca Steven (20), Naifat Ally (20),Naomi Ngoyi (20), Sara Said (20),Victoria Mtenga (19),Margareth Beatus (19) Radhia Mussa (20), Mary Roggers (18) na Eunice Mbya (22).




NELY KAMWELU AWA MISS UNIVERSE

Nelly kamwelu ametawazwa kuwa miss universe 2011 ambapo mshindi wa pili alikuwa  Neema Kilango na wa tatu ni yakoba Asenga

Thursday, May 26, 2011

TUNDU LISSU APEWA KICHAPO..!!

Tundu Lissu akionyesha shati lake analodai kuchaniwa na polisi baada ya kumpa kichapo akiwa nje ya Mahakama ya Wilaya ya Tarime, baada ya kupata dhamana jana. Picha na Anthony MayungaMbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria, na wenzake saba ambao juzi walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Tarime na kusomewa mashtaka matatu ya kuingia eneo la hospitali bila kibali, kufanya mkutano na kuzuia watu kufanya kazi, wamepata dhamana lakini wamezuiwa kutembelea maeneo ya Nyamongo hadi kesi inayowakabili itakapokwisha.

Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya hiyo, Yusto Roboroga alitoa uamuzi huo akisema ni kwa mujibu wa kifungu cha Sheria Namba 148 cha Makosa ya Jinai, kilichofanyiwa marekebisho mwaka 2002, ambacho kinatoa haki kwa watuhumiwa kupata dhamana. Alitoa uamuzi huo baada ya kupitia pingamizi lililowekwa na upande wa mashtaka kutaka wasipewe dhamana. Hata hivyo, alisema: “Washtakiwa wanazuiwa kutembelea maeneo ya Nyamongo mpaka kesi hiyo itakapokuwa imekwisha."

Hakimu Ruboroga alitaja masharti ya dhamana hiyo kuwa ni kusaini mkataba wa dhamana wa Sh5 milioni kwa wadhamini wawili wanaoaminika. Kwa wasio wakazi wa Tarime, alisema watatakiwa kupeleka mahakamani hati za mali isiyohamishika. Washtakiwa wote walikidhi masharti na kuachiwa kwa dhamana hadi Juni 26, mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena.




STL KUSHUSHA NGOMA NA MAHOMBI

 STL aka Stella Mwangi kwa sasa yuko kwenye mikakati ya kuandaa album yake mpya itakayoitwa Kinanda
 STL alitoa single mpya ya kwanza toka kwenye album yake ya Kinada iitwayo Lookie Lookie na meneja wa STL,Charles amesema kuwa kwa sasa STL yuko kwenye harakati za kupiga collabo na msanii Mohombi,Taratibu zote zimefuatwa na wameshamtumia track na kuwajibu kuwa yuko tayari kufanya ngoma na STL
MOHOMBI NZASI MOUPONDO
Mohombi ni Mcongo anayeishi Sweden na yuko chini ya RedOne label ambayo pia iko chini ya Universal Music Group na mwaka 2010 alidondosha ngoma yake ya Bumpy Ride,iliyoshika top-tenkwenye chart nyingi duniani

 
 
 
 
SNOOP DOGGY ATOBOA UKWELI KUHUSU ALBUM YA DR.DREE

Rapper Snoop Dogg recently shed some light on why he believes that Dr. Dre’s ‘Detox’ album has seen so many lengthy delays.
During an interview with Tim Westwood, rapper Snoop Dogg gave some interesting insight on why he believes there’s been such a delay in releasing Dr. Dre’s Detox album. Snoop explained that the main problem is the type of environment Dre’s creating his music in.
“It’s a formula. Like I was trying to explain to you earlier when we made records in the past it was an environment, an atmosphere. It was always girls,” Snoop explained. “It was always parties. It was always the right atmosphere to create that kind of album that sounds like the albums that you’ve heard in the past. If there’s not that atmosphere you can’t create that kind of album. So that’s what’s happening right now. The songs don’t match the atmosphere and the atmosphere don’t match the songs.”
SnOOp went on to explain that due to his perfectionist side Dr. Dre is unlikely to release anything until he feels that it’s close to perfect.
“What we’re accustomed to hearing from Dr. Dre is the brand new, next best everything and from right now people not getting that. He knows that,” said Snoop. “So he’s a perfectionist and until he gets that he’s not gonna release it cause he doesn’t want the scrutiny of people saying ‘I waited this long for that?’ It’s like when I wait this long I better get that and that.”
Snoop also shed some light on the fact that Dr. Dre may not be surrounding himself with the right people when it comes to making his album. He also shared that he feels like he and D.O.C. need to be a part of Detox in order for it to work.
“I’mma say this and I don’t know if it’s gonna ruffle any feathers. I just think the wrong people is in the environment. When hemade records that were hit records in the past: D.O.C., Snoop Dogg, RBX, Kurupt,” said the rapper. “It’s like it’s pieces that’s not there that need to be there. And I’ll say D.O.C. and Snoop Dogg is the backbone. When you take those two equations and you take them out of the equation it’s not gonna work. You need to put them two back into the situation and let us mastermind and head the project like we did The Chronic in 2001. That’s what’s missing.”